WAKE WANNE WAMENIACHA NA KWENDA KUOLEWA TENA


Ukweli ni kwamba huku duniani kuna mikosi ya kila namna, mikosi ni mfululizo wa visa vibaya ambavyo vinaweza kuwa vinajirudia kila wakati na bila kujua sababu ni nini hasa.


Mathalani kuna mtu kila bishara anayofungua haiwezi kufikisha mwaka mmoja, mwingine kila gari analonunua lazima liibiwe, mwingine kila mtoto anayempeleka shule anafeli.

Au kuna familia unakuta mabinti wanazalia nyumbani tu bila kuolewa, ukichunguza unakuja kugundua hata mama yao naye alizalia nyumbani na hapo watoto wanapoishi ni kwa Babu na Bibi yao.

Hiyo ndio mikosi yenyewe, kipindi ambacho jamii zetu zinaheshimu mila na tamaduni kabla ya kuathiriwa na utamaduni za magharibi zilizoletwa na utandawazi, jambo kama hilo likitokea lazima wazee wakae na wafanye jambo.

Ila sasa hiyo imekuwa ni ngumu, watu wanapata mikosi kila siku, wanaumia, wanarudi nyuma kimaendeleo na kiuchumi, hakuna anaweza kujua kipi kifanyike kwa sasa.

Hata hivyo, kuna hawa AfricanDoctors, ni kiboko kabisa ya mikosi katika maisha, hawa ndio walioniondoa katika mkosi wa ndoa zangu kuvunjika.

Miaka ya nyuma kila mwanamke ambaye nilikuwa namuoa, baada ya miaka miwili, basi angechukua vitu vyake na kuondoka bila kusema sababu yoyote ile na mara moja angeolewa na mwanaume mwingine.

Wanawawake wanne ambao niliwaoa waliondoka na kwenda kuolewa na watu wengine, na kibaya zaidi walikuwa wanaondoka bila hata kunizalia mtoto.

Ndipo nilipopata tiba kutoka kwa AfricanDoctors na sasa mambo ni shwari kabisa, nimeoa na huu ni mwaka wa sita nipo kwenye ndoa na tumejaliwa kupata watoto wawili na mmoja tayari ameanza shule ya msingi.

Wasiliana na AfricanDoctors kwa namba +254719153099.

Mwisho.

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527

0/Post a Comment/Comments