MWENYEKITI WA KIJIJI AJIUA KWENYE MPARACHICHI

Geofrey Massawe (45), Mwenyekiti wa kitongoji Somanga mkoani Kilimanjaro amejiua kwa kujinyonga kwa kutumia kamba ya kufungia ng'ombe aliyoifunga juu ya mti wa mparachichi jirani na nyumbani kwake.


Kamanda wa Polisi mkoani hapa, Simoni Maigwa amethibitisha kutokea kwa tukio hilo leo Alhamisi Novemba 3 ambapo amesema mwili wa Mwenyekiti huyo ulikutwa juu ya mti na kwamba wanaendelea na uchunguzi wa tukio hilo ili kubaini chanzo chake.

ENDELEA KUSOMA HABARI HII <<HAPA>>

Via Mwananchi

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527

0/Post a Comment/Comments