MANISPAA YA SHINYANGA YASHINDA TUZO YA AFYA NA USAFI WA MAZINGIRA KUTOKA WIZARA YA AFYA
Saturday, November 19, 2022
Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga imekuwa mshindi wa kwanza mashindano ya Tuzo ya Taifa ya Afya na Usafi wa Mazingira mwaka 2022, kundi la Halmashauri za Manispaa Tanzania Bara kutoka Wizara ya Afya.
Tuzo hizo zimetolewa leo Novemba 19, 2022 Jijini Dodoma.
Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa
Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundeblog@gmail.com
🚧🚦 Usiendeshe gari lako bila Mafunzo na Leseni halali_ 📲 Wasiliana nasi sasa: wa.me/255740273285 Unahitaji nini? 🚘 Unataka kujifunza udereva wa magari na kupata Cheti? 📄 Una cheti unataka kupata Leseni? 🔄 Unajua kuendesha lakini huna cheti wala leseni na unataka refresh upate cheti? 🛣️ Una nyaraka zote muhimu lakini unahitaji kujifua zaidi barabarani? ✅ Una Leseni bila cheti na unataka renew? 🌍 Tupo mikoa yote Tanzania hadi vijijini! 📞 Tupigie sasa: 0769 763 285
Social Plugin