MAKATIBU 146 WA AMCOS SHINYANGA WAHITIMU MAFUNZO YA UANDISHI WA VITABU VYA HESABU KWA VITENDO

Mratibu wa Mafunzo kutoka Tume ya Maendeleo ya Ushirika (TCDC), Justin Mogendi akizungumza wakati wa kufunga mafunzo ya uandishi wa vitabu vya hesabu kwa vitendo kwa Makatibu wa Vyama vya Msingi vya Pamba Mkoa wa Shinyanga

Na Kadama Malunde - Malunde 1 blog
Jumla ya Makatibu 146 wa Vyama vya Msingi vya Pamba Mkoa wa Shinyanga wamepatiwa mafunzo ya uandishi wa vitabu vya hesabu kwa vitendo ili kuboresha uandishi wa vitabu vya hesabu kwenye AMCOS zao.

Mafunzo hayo yamefanyika Ijumaa Novemba 18,2022 hadi Jumapili Novemba 20,2022 Mjini Shinyanga na Kahama Mjini yakishirikisha watendaji hao kutoka kwenye vyama vya msingi vya pamba 174.

Akizungumza wakati wa kufunga mafunzo hayo Jumapili Novemba 20,2022, Mratibu wa Mafunzo kutoka Tume ya Maendeleo ya Ushirika (TCDC), Justin Mogendi amesema yatasaidia kuondoa Hati chafu kwenye vyama vya Msingi vya Ushirika (AMCOS).

“Tunatarajia mafunzo haya yataboresha uandishi wa vitabu vya hesabu kwenye AMCOS ili kuondoa hati chafu, nendeni mkatumie ujuzi mliopewa kwenye mafunzo haya kuboresha utendaji katika AMCOS”,amesema Mogendi.

Naye Mrajis Msaidizi wa Vyama vya Ushirika Mkoa wa Shinyanga Hilda Boniphace amesema mafunzo hayo yalilenga kuwajengea uwezo watendaji wa Vyama vya Msingi vya Pamba katika shughuli zao za kila siku hivyo ana imani utendaji kazi utaboreshwa kwenye AMCOS.


Nao washiriki wa mafunzo hayo akiwemo, Regina Kulwa na Mabula Manyesha wamesema hawakuwa wanajua namna ya kuandika vitabu vya hesabu lakini sasa wamepata ujuzi hivyo watakwenda kuandaa taarifa vizuri kwenye AMCOS zao.

Mratibu wa Mafunzo kutoka Tume ya Maendeleo ya Ushirika (TCDC), Justin Mogendi akizungumza wakati wa kufunga mafunzo ya uandishi wa vitabu vya hesabu kwa vitendo kwa Makatibu wa Vyama vya Msingi vya Pamba Mkoa wa Shinyanga
Mratibu wa Mafunzo kutoka Tume ya Maendeleo ya Ushirika (TCDC), Justin Mogendi akizungumza wakati wa kufunga mafunzo ya uandishi wa vitabu vya hesabu kwa vitendo kwa Makatibu wa Vyama vya Msingi vya Pamba Mkoa wa Shinyanga
Mratibu wa Mafunzo kutoka Tume ya Maendeleo ya Ushirika (TCDC), Justin Mogendi akizungumza wakati wa kufunga mafunzo ya uandishi wa vitabu vya hesabu kwa vitendo kwa Makatibu wa Vyama vya Msingi vya Pamba Mkoa wa Shinyanga
Mrajis Msaidizi wa Vyama vya Ushirika Mkoa wa Shinyanga Hilda Boniphace akizungumza wakati wa kufunga mafunzo ya uandishi wa vitabu vya hesabu kwa vitendo kwa Makatibu wa Vyama vya Msingi vya Pamba Mkoa wa Shinyanga
Mrajis Msaidizi wa Vyama vya Ushirika Mkoa wa Shinyanga Hilda Boniphace akizungumza wakati wa kufunga mafunzo ya uandishi wa vitabu vya hesabu kwa vitendo kwa Makatibu wa Vyama vya Msingi vya Pamba Mkoa wa Shinyanga
Mrajis Msaidizi wa Vyama vya Ushirika Mkoa wa Shinyanga Hilda Boniphace akizungumza wakati wa kufunga mafunzo ya uandishi wa vitabu vya hesabu kwa vitendo kwa Makatibu wa Vyama vya Msingi vya Pamba Mkoa wa Shinyanga
Mrajis Msaidizi wa Vyama vya Ushirika Mkoa wa Shinyanga Hilda Boniphace akizungumza wakati wa kufunga mafunzo ya uandishi wa vitabu vya hesabu kwa vitendo kwa Makatibu wa Vyama vya Msingi vya Pamba Mkoa wa Shinyanga

Mrajis Msaidizi wa Vyama vya Ushirika Mkoa wa Shinyanga Hilda Boniphace akizungumza wakati wa kufunga mafunzo ya uandishi wa vitabu vya hesabu kwa vitendo kwa Makatibu wa Vyama vya Msingi vya Pamba Mkoa wa Shinyanga
 Makatibu wa Vyama vya Msingi vya Pamba wakiwa ukumbini
Makatibu wa Vyama vya Msingi vya Pamba wakiwa ukumbini
Makatibu wa Vyama vya Msingi vya Pamba wakiwa ukumbini

Makatibu wa Vyama vya Msingi vya Pamba wakiwa ukumbini
Mratibu wa Mafunzo kutoka Tume ya Maendeleo ya Ushirika (TCDC), Justin Mogendi (kushoto) akimkabidhi cheti katibu wa AMCOS
Mratibu wa Mafunzo kutoka Tume ya Maendeleo ya Ushirika (TCDC), Justin Mogendi (kushoto) akimkabidhi cheti katibu wa AMCOS
Mratibu wa Mafunzo kutoka Tume ya Maendeleo ya Ushirika (TCDC), Justin Mogendi (kushoto) akimkabidhi cheti katibu wa AMCOS
Mratibu wa Mafunzo kutoka Tume ya Maendeleo ya Ushirika (TCDC), Justin Mogendi (kushoto) akimkabidhi cheti katibu wa AMCOS
Mratibu wa Mafunzo kutoka Tume ya Maendeleo ya Ushirika (TCDC), Justin Mogendi (kushoto) akimkabidhi cheti katibu wa AMCOS
Mratibu wa Mafunzo kutoka Tume ya Maendeleo ya Ushirika (TCDC), Justin Mogendi (kushoto) akimkabidhi cheti katibu wa AMCOS
Mratibu wa Mafunzo kutoka Tume ya Maendeleo ya Ushirika (TCDC), Justin Mogendi (kushoto) akimkabidhi cheti katibu wa AMCOS
Mratibu wa Mafunzo kutoka Tume ya Maendeleo ya Ushirika (TCDC), Justin Mogendi (kushoto) akimkabidhi cheti katibu wa AMCOS
Mratibu wa Mafunzo kutoka Tume ya Maendeleo ya Ushirika (TCDC), Justin Mogendi (kushoto) akimkabidhi cheti katibu wa AMCOS
Mratibu wa Mafunzo kutoka Tume ya Maendeleo ya Ushirika (TCDC), Justin Mogendi (kushoto) akimkabidhi cheti katibu wa AMCOS
Mratibu wa Mafunzo kutoka Tume ya Maendeleo ya Ushirika (TCDC), Justin Mogendi (kushoto) akimkabidhi cheti katibu wa AMCOS
Mratibu wa Mafunzo kutoka Tume ya Maendeleo ya Ushirika (TCDC), Justin Mogendi (kushoto) akimkabidhi cheti katibu wa AMCOS
Mratibu wa Mafunzo kutoka Tume ya Maendeleo ya Ushirika (TCDC), Justin Mogendi (kushoto) akimkabidhi cheti katibu wa AMCOS
Mratibu wa Mafunzo kutoka Tume ya Maendeleo ya Ushirika (TCDC), Justin Mogendi (kushoto) akimkabidhi cheti katibu wa AMCOS
Mratibu wa Mafunzo kutoka Tume ya Maendeleo ya Ushirika (TCDC), Justin Mogendi (kushoto) akimkabidhi cheti katibu wa AMCOS
Mratibu wa Mafunzo kutoka Tume ya Maendeleo ya Ushirika (TCDC), Justin Mogendi (kushoto) akimkabidhi cheti katibu wa AMCOS
Mratibu wa Mafunzo kutoka Tume ya Maendeleo ya Ushirika (TCDC), Justin Mogendi (kushoto) akimkabidhi cheti katibu wa AMCOS
Katibu wa AMCOS akishikana mkono na Mrajis Msaidizi wa Vyama vya Ushirika Mkoa wa Shinyanga Hilda Boniphace wakati Mratibu wa Mafunzo kutoka Tume ya Maendeleo ya Ushirika (TCDC), Justin Mogendi akikabidhi vyeti kwa washiriki wa mafunzo.

Picha na Kadama Malunde 1 blog

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527

0/Post a Comment/Comments