Watu Sita wamefariki dunia na wengine 22 wakijeruhiwa katika ajali iliyohusisha basi la Arusha Express lenye usajili wa namba T 530 AGG kugongana uso kwa uso na lori Mchanga kampuni ya SINO-HYDRO lenye namba T 939 DZE.
Ajali hiyo imetokea leo Jumapili Novemba 13, 2022 mchana eneo la Veyula Kata ya Makutupora mkoani Dodoma.
Akithibitisha kutokea kwa ajali hiyo Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Rosemary Senyamule amesema waliofariki wote ni wanaume huku Majeruhi 10 wakiwa ni Wanawake na 12 ni Wanaume.
Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa
Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundeblog@gmail.com
🚧🚦 Usiendeshe gari lako bila Mafunzo na Leseni halali_ 📲 Wasiliana nasi sasa: wa.me/255740273285 Unahitaji nini? 🚘 Unataka kujifunza udereva wa magari na kupata Cheti? 📄 Una cheti unataka kupata Leseni? 🔄 Unajua kuendesha lakini huna cheti wala leseni na unataka refresh upate cheti? 🛣️ Una nyaraka zote muhimu lakini unahitaji kujifua zaidi barabarani? ✅ Una Leseni bila cheti na unataka renew? 🌍 Tupo mikoa yote Tanzania hadi vijijini! 📞 Tupigie sasa: 0769 763 285
Social Plugin