YANGA SC YASHINDWA KUFUZU HATUA YA MAKUNDI CAFCL


NA EMMANUEL MBATILO

KLABU ya Yanga imeondolewa kwenye michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika mara baada ya kupokea kichapo cha bao 1-0 kutoka kwa Al Hilal ya Sudan, mechi ambayo imepigwa kwenye dimba la Al Hilal nchini humo.

Yanga Sc katika mechi ya kwanza akiwa nyumbani aliweza kulazimishwa sare ya 1-1 bao lililofungwa na Fiston Mayele lakini tofauti na leo ambapo amepokea kichapo cha bao moja na bila kuweza kupata bao lolote kwenye mchezo huo.

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527

0/Post a Comment/Comments