TAMASHA LA SENSABIKA LAANZA KWA JOGGING, YOGA, UKAGUZI NDONDI


******************************

Katibu Mkuu wa Wizara ya Utamaduni Sanaa na Michezo leo amewaongoza mamia ya wadau wa utamaduni, sanaa na michezo kuianza Siku ya Tamasha la Kuhamasisha Sensa la #Sensabika kwa mazoezi.

Tamasha hilo linaendelea mchana huu kwa muziki na ngoma na michezo mbalimbali na jioni kutakuwa na pambano la ngumi la bondia Karim Mandonga na kisha wasanii wakubwa chini watapanda stejini.

Mgeni rasmi katika Tamasha hilo atakuwa Mhe Mohammed Mchengerwa, Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo.

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527

0/Post a Comment/Comments