KARANI WA SENSA AKUTWA JUU YA MTI NA KISHIKWAMBI CHAKE


Makarani wa sensa wilayani Butiama mkoani Mara wanakabiliwa na tatizo la ukosefu wa mtandao wa hatua inayowalazimu kupanda juu ya miti na vilima ili kuweza kupata mawasiliano.

Mwenyekiti wa kamati ya sensa wilayani humo Moses Kaegele ameyasema hayo katika kikao Cha dharura kujadili maendeleo ya shughuli hiyo huku akiitaka kamati kusaidiana kutatua tatizo hilo.

Chanzo - Radio Free Africa

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527

0/Post a Comment/Comments