MGEJA AWAOMBA WATANZANIA KUDUMISHA MILA NA UTAMADUNI


Mwenyekiti wa Mzalendo Foundation, Khamis Mgeja (katikati) amewaombaWanatanzania kudumisha utamaduni kwa kupenda vyakula vya asili kwani vina faida nyingi katika kujenga afya ya mwili.


Mgeja ametoa ushauri huo ofisini kwake Mjini Kahama alipokuwa akipata chakula cha asili asubuhi alipotembelewa na wajasiriamali na kupeana ushauri wa ukuzaji wa mitaji.

"Wenzetu raia wa China wameshikilia utamaduni wao na kuendeleza mpaka sasa ushauri wangu sio mbaya au dhambi kuiga mazuri kwa mwenzako",amesema Mgeja.

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527

0/Post a Comment/Comments