WAZIRI WA MIFUGO NA UVUVI ATEMBELEA BANDA LA TVLA MAONESHO YA MIFUGO KIBIASHARA CHALINZE

Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Mashimba M. Ndaki (MB) akipata maelezo kuhusiana na huduma zinazotolewa na Wakala ya Maabara ya Veterinari Tanzania (TVLA) kutoka kwa Afisa Utafiti Mifugo wa TVLA Ndg. Msafiri S. Kalloka kwenye uzinduzi wa maonesho ya Mifugo kibiashara yaliyofanyika kwenye uwanja wa maonesho Highland Estate LTD, Ubena Zomozi, Chalinze Julai 15, 2022.Ndg. Msafiri S. Kalloka Afisa Utafiti Mifugo wa Wakala ya Maabara ya Veterinari Tanzania (TVLA) akitoa maelezo kuhusiana na huduma zinazotolewa na Wakala kwa wanananchi waliotembelea banda la TVLA kwenye uzinduzi wa maonesho ya Mifugo kibiashara yaliyofanyika kwenye uwanja wa maonesho Highland Estate LTD, Ubena Zomozi, Chalinze Julai 15, 2022

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527

0/Post a Comment/Comments