TAIFA STARS YAPOKEA KICHAPO 2-0 DHIDI YA ALGERIA


************************

Timu ya Taifa ya Tanzania 'Taifa Stars' imekubali kichapo cha mabao 2-0 dhidi ya Algeria katika Uwanja wa Benjamin Mkapa na kusalia nafasi ya 3 katika kundi F ikiwa na pointi 1.

Nafasi ya nne yupo Uganda akiwa na pointi 1 na Algeria anaongoza kundi akiwa na alama 6 baada ya kushinda mechi mbili huku Niger akiwa nafasi ya pili na alama 2.

Mechi ijayo Stars itacheza dhidi ya Uganda Septemba 19 ugenini kisha kurudiana Septemba 27 kwa Mkapa.

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527

0/Post a Comment/Comments