Post Top Ad
Sunday, April 10, 2022
Picha : MREMA NA MKEWE WAANZA RASMI KUSHEREHEKEA HONEYMOON YAO...WATUA MBUGANI
Mwenyekiti wa chama cha TLP Agustino Mrema na Mkewe Doreen Wameanza rasmi safari ya kutalii katika mbuga za wanyama ikiwa ni sehemu ya kusherekea fungate lake (Honeymoon).
Mrema alitangaza kwamba atakua na ziara hiyo na kuwaomba watanzania kuungana naye katika tukio hilo akisema ni sehemu ya kusherekea ndoa yake mpya pamoja na kutangaza mbuga za wanyama na vivutio vilivyopo.
Mrema ameanza kuzuru mbuga ya Tarangire na leo atakua hifadhi ya Manyara na baadae ataelekea hifadhi ya taifa ya Ngorongoro.
Picha na Wasafi
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Author Details
Malunde 1 blog ni blog ya Kiswahili maarufu duniani kwa habari za Matukio, Siasa, Magazeti, Nyimbo za asili na habari za kusisimua.
No comments:
Post a Comment