AKAUNTI YA YOUTUBE YA DIAMOND PLATNUMZ YAREJEA HEWANI


Baada ya kupotea kwa masaa kadhaa akaunti ya youtube ya CEO wa WCB Diamond Platnumz imerudi baada ya uongozi wa lebo hiyo kusema kuwa wametambua kosa liko wapi na kulishughulikia kwa kuwasiliana na Youtube makao makuu.

Mwanzo walieleza kuwa akaunti hiyo ilidukuliwa na mdukuaji kwenda live kwa kutumia content ambayo haikuwa ya Diamond kwahiyo ilikiuka masharti ya Youtube.

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527

0/Post a Comment/Comments