ALIYEPANDIKIZIWA MOYO WA NGURUWE AFARIKI DUNIA


David Bennett akiwa hospitali.
 ***
David Bennett aliyekuwa binadamu wa kwanza Duniani kupandikizwa moyo wa nguruwe amefariki dunia baada ya kuishi kwa miezi miwili akiwa na moyo wa nguruwe.

David (57) aliyekuwa na maradhi ya moyo, alifanyiwa upasuaji Januari 7,2022 nchini Marekani katika hospitali ya University of Maryland Medical Center.

Baada ya kupandikizwa moyo wa nguruwe alijumuika na familia yake baada ya wiki kadhaa na kutazama fainali za Super Bowl pamoja, na hali yake ilianza kubadilika siku kadhaa zilizopita mpaka umauti ulimpofika Machi 8 mwaka huu.

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527

1/Post a Comment/Comments

Post a Comment