Post Top Ad
Wednesday, February 23, 2022
YANGA SC YAZIDI KUWA YA MOTO, YAONESHA UBABE MBELE YA MTIBWA SUGAR
************
NA EMMANUEL MBATILO
KLABU ya Yanga imeendelea kutoa dozi ligi ya NBC ambapo leo imeitembezea kichapo timu ya Mtibwa Sugar kwenye dimba la Manungu mkoani Morogoro.
Mabao ya Yanga Sc yamewekwa kimyani na mshambuliaji wao Said Ntibazokiza pamoja na Fiston Mayele ambaye mpaka sasa ana magoli 7 kwenye ligi.
Yanga sasa itaendelea kukaa kileleni mwa ligi kwa tofauti ya pointi nane dhidi ya mpinzani wake Simba Sc.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Author Details
Malunde 1 blog ni blog ya Kiswahili maarufu duniani kwa habari za Matukio, Siasa, Magazeti, Nyimbo za asili na habari za kusisimua.
No comments:
Post a Comment