MORISSON ASAWAZISHA BAO, SIMBA SC IKITOKA SARE YA 1-1 DHIDI YA USGN


*************************

NA EMMANUEL MBATILO

KLABU ya Simba yalazimishwa sare katika mchezo hatua ya makundi michuano ya Klabu Bingwa Afrika dhidi ya timu ya USGN ya nchini Niger.

USGN ilianza kupata bao kipindi cha kwanza na kuongoza mpaka dakika ya 86 ya mchezo ambapo Simba Sc kufanikiwa kusawazisha kupitia kwa Benard Morrison.

Benard Morrison alipata bao hilo dakika chache tu tokee benchi akichukua nafasi ya Peter Banda ambaye kwenye mchezo huo hakuwa kwenye ubora wake uliozoeleka.

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527

0/Post a Comment/Comments