Dkt. TULIA ACKSON NDIYE SPIKA WA BUNGE LA TANZANIA



Mbunge wa Mbeya Mjini, Dk. Tulia Ackson amechaguliwa kuwa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania baada ya kupata kura zote 376 za wabunge katika Uchaguzi uliofanyika leo Jumanne Februari 1, 2022 bungeni jijini Dodoma.

Akitangaza matokeo hayo, Mwenyekiti wa Uchaguzi huo, William Lukuvi amesema Mhe. Dkt. Tulia amewashinda wagombea wengine nane ambao wote wamepata kura 0 na hakuna kura iliyoharibika.

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527

0/Post a Comment/Comments