MKAZI WA MTONGANI ASHINDA MILIONI 10 ZA BIKO

Meneja wa Bank ya CRDB Tawi la Palm Beach Primier jijini Dar es Salaam, Pendo Kitula kulia akishirikiana na balozi wa Biko Kajala Masanja kushoto kumkabidhi mshindi wao wa biko Ahmad Ally Mbwana jumla ya sh milioni 10 alizoshinda kutoka kwenye droo kubwa zinazofanyika kila Jumapili. Picha na Mpigapicha Wetu.
Balozi wa Biko Kajala Masanja kushoto akifurahia jambo na mshindi wake Ahmad Ally Mbwana aliyeshinda sh milioni 10 za bahati nasibu ya Biko na kukabidhiwa jana kwenye Bank ya CRDB, Tawi la Palm Beach Primier, jijini Dar es Salaam.
Mshindi wa Biko wa sh milioni 10, Ahmad Ally Mbwana, akionesha tabasamu pana baada ya kuibuka kidedea kwenye droo kubwa ya biko iliyofanyika Jumapili. Picha na Mpiga picha wetu.


Mwandishi Wetu, Dar es Salaam

Mkazi wa Mtoni Mtongani, wilayani Temeke, mkoani Dar es Salaam, Ahmad Ally Mbwana, ameibuka Milionea wa biko baada ya kushinda sh milioni 10 za droo kubwa inayofanyika kila Jumapili kwa kucheza live kwa kuingia www.biko.co.tz au kwa namba ya Kampuni ya 505050 na kumbukumbu namba 2456.


Biko ni mchezo unaochezwa kwa njia ya ujumbe mfupi wa maandishi unachezwa kwa kufanya miamala kuanzia sh 1000 na kuendelea ambapo Watanzania wamekuwa kuanzia sh 2500 hadi Milioni 5 papo kwa hapo pamoja na droo kubwa za kila Jumapili.


Mbali na wanaocheza kwa kupitia www.biko.co.tz, pia wanaotumia simu za kawaida nao wataendelea kucheza kama zamani kwa kutumia namba ya Kampuni 505050 na kumbukumbu namba 2456 na wote kujishindia kuanzia sh 2500 hadi milioni tano papo kwa hapo pamoja na kuingia kwenye droo kubwa zinazofanyika kila Jumapili.

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527

0/Post a Comment/Comments