SIMBA SC YATINGA NUSU FAINALI, YALAZIMISHWA SARE 0-0 MLANDEGE FC


**********************

NA EMMANUEL MBATILO

KLABU ya Simba imelazimishwa sare dhidi ya Mlandege Fc katika michuano ya Mapinduzi Cup yanayoendelea visiwani Zanzibar.

Kwa matokeo hayo Simba Sc imefanikiwa kufuzu hatua ya nusu fainali ya michuano hiyo na kuungana na mahasimu wao Yanga pamoja na Azam ambao nao wameingia kwenye hatua hiyo.

Simba Sc iliwachezesha baadhi ya wachezaji ambao kwenye mechi iliyopita hawakuwepo kutokana na kupewa mapumziko.

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527

0/Post a Comment/Comments