RAIS SAMIA AFANYA UTEUZI MWINGINE



RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan leo Januari 9,2022 amefanya uteuzi.

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa muda huu na Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais Ikulu, Jaffar Haniu, Mheshimiwa Rais Samia amemteua Bw.Edward Gerald Nyamanga kuwa Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais, upande wa Mazingira.

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527

0/Post a Comment/Comments