
Pastor Ekuma Uche Philips wa Jamhuri ya kidemokrasia ya Congo amedai kuwa malaika amenaswa na camera za kanisani kama ambavyo anathibitisha.
"Malaika amenaswa kwenye Camera katika Ibada ya usiku, Ijumaa tarehe 31 Desemba, Saa 12:13 asubuhi. Sijawahi ona kitu kama hiki tangu nizaliwe.
Tuko katika siku za miujiza mkubwa, Huyu ni Mungu.
Asante Yesu kwa kututembelea na muujiza mkuu katika Injili ya Msingi wa Imani Porto Novo, Jamhuri ya Benin”
Kwenye kiingereza hiyo ni saa ngapi? (12:13am) na wewe umetafsiri SAA ngapi kwenye kiswahili
ReplyDeletePost a Comment