YANGA SC YALAZIMISHWA SARE 2-2 NA KMKM MAPINDUZI CUP


********************

NA EMMANUEL MBATILO, DAR ES SALAAM

Yanga SC imelazimishwa sare ya 2-2 na timu ya KMKM katika mashindano ya Mapinduzi Cup yanayoendelea visiwani Zanzibar.

Yanga imefuzu nusu fainali kwa tofauti ya magoli ya kufunga na kufungwa.

Mabao ya Yanga yaliwekwa kimyani na Heritie Makambo katika kipindi cha pili na bao lingine likifungwa na Feisal Salumu ambaye ndiye nyota wa mchezo huo.

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527

0/Post a Comment/Comments