MANISPAA YA KAHAMA YAONGOZA UKUSANYAJI MAPATO


Halmashauri ya Manispaa ya Kahama mkoani Shinyanga imeongoza kwa kukusanya mapato kwa 67%, ikifuatiwa na Musoma 65%, na Ilemela 55%.

Katika kundi hili Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro imekuwa ya mwisho ambapo imekusanya 37% ikifuatiwa na Kigoma 38% na Ubungo 40% ya lengo la mwaka.

 Hayo yamesemwa na Waziri wa TAMISEMI Innocent Bashungwa  wakati akitoa taarifa ya mapato na matumizi ya Halmashauri kwa nusu mwaka wa fedha 2021/2022.

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527

0/Post a Comment/Comments