Post Top Ad
Saturday, January 29, 2022
MANISPAA YA KAHAMA YAONGOZA UKUSANYAJI MAPATO
Halmashauri ya Manispaa ya Kahama mkoani Shinyanga imeongoza kwa kukusanya mapato kwa 67%, ikifuatiwa na Musoma 65%, na Ilemela 55%.
Katika kundi hili Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro imekuwa ya mwisho ambapo imekusanya 37% ikifuatiwa na Kigoma 38% na Ubungo 40% ya lengo la mwaka.
Hayo yamesemwa na Waziri wa TAMISEMI Innocent Bashungwa wakati akitoa taarifa ya mapato na matumizi ya Halmashauri kwa nusu mwaka wa fedha 2021/2022.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Author Details
Malunde 1 blog ni blog ya Kiswahili maarufu duniani kwa habari za Matukio, Siasa, Magazeti, Nyimbo za asili na habari za kusisimua.
No comments:
Post a Comment