RAIS MWINYI ATEUA VIONGOZI WANNE


Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Hussein Ali Mwinyi.
***
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mheshimiwa Dkt. Hussein Ali Mwinyi ameteua wafuatao kuwa makamishina wa Tume ya Kurekebisha Sheria.

Mosi kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Katibu wa Baraza la Mapinduzi na Katibu Mkuu Kiongozi, Mhandisi Zena A.Said leo Desemba 28,2021 Mheshimiwa Rais amemteua Yahaya Khamis Hamad.

Pili amemteua Dkt.Sikujua Omar Hamdan, tatu amemteua Juma Msafiri Karibona.

Nne ni Salim Mohammed Abdalla na uteuzi huo umeanza leo Desemba 28,2021.

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527

0/Post a Comment/Comments