MWILI WA MAMA LULU DIVA WAKIZWA KWAO MUHEZA TANGA


Mwili wa mama Lulu Diva ukipumzishwa kwenye nyumba yake ya milele
**
Mwili wa Mama mzazi wa msanii wa Bongofleva Lulu Diva tayari umezikwa nyumbani kwao Mafele Muheza mkoani Tanga, leo mchana baada ya kufariki dunia juzi Jijini Dar es salaam


Mbunge wa Muheza Mjini Hamisi Mwinjuma Mwana Fa, Irene Uwoya, Whozu, Petitman Wakuache, Aristotee, Alice Kela ni baadhi ya mastaa waliojitokeza kwenye mazishi ya mama wa Lulu Diva.

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527

0/Post a Comment/Comments