RC HOMERA ASHIRIKI MAKABIDHIANO YA TREKTA NDOGO 24I KWA WAKULIMA MBARALI - MBEYA


Mkuu wa mkoa wa Mbeya Mhe. Juma Zuberi Homera hivi karibuni akiwa mgeni rasmi amekabidhi Trekta ndogo (Powertillers) aina ya Kubota 241 zenye thamani ya Tshs. 2.6 Billion, vifaa hivyo vimetolewa na kampuni ya Agricom Africa Kwa udhamini wa mkopo kupitia CRDB Bank kwa wakulima wa Wilaya ya Mbarali mkoani Mbeya.
Mkuu wa mkoa wa Mbeya akizungumza kwenye hafla ya makabidhiano ya matrekta yaliyotolewa na Agricom Africa ltd Kwa udhamini wa mkopo kupitia CRDB Bank Ltd
Mtendaji Mkuu wa Agricom Africa Ltd Bw. Alex Duffar akizungumza kwenye hafla ya makabidhiano ya matrekta yaliyotolewa na Agricom Africa ltd kupitia udhamini wa mkopo wa CRDB Bank
Mwakilishi wa Meneja wa kanda WA Benki ya CRDB nyanda za juu kusini akizungumza kwenye hafla ya makabidhiano ya matrekta yaliyotolewa na Agricom Africa ltd kupitia udhamini wa mkopo wa CRDB Bank Igurusi mbeya
Mkuu wa mkoa akiwasha mojawapo ya trekta
Picha ya pamoja Kati ya mkuu wa mkoa wa Mbeya na wakulima waliokabidhiwa trekta ndogo aina ya Kubota Powertillers

Mkuu wa mkoa wa Mbeya,mwakilishi wa Meneja wa kanda WA Benki ya CRDB na Mtendaji Mkuu wa AGRICOM AFRICA LTD wakiwa na funguo kama ishara ya makabidhiano ya matrekta yaliyotolewa na Agricom Africa ltd kupitia udhamini wa mkopo wa CRDB Bank.
Mtendaji Mkuu wa AGRICOM AFRICA LTD akifurahia picha ya pamoja na wakulima waliokabidhiwa trekta ndogo aina ya Kubota Powertillers kwenye ofisi za Agricom Africa ltd Igurusi
Wakulima waliokabidhiwa trekta ndogo aina ya Kubota Powertillers

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527

0/Post a Comment/Comments