Post Top Ad
Monday, October 18, 2021
MWALIMU MKUU AMNG'OA JINO KWA KUMTWANGA NGUMI MWALIMU MWENZAKE MOROGORO
Mwalimu Mkuu wa Shule ya Msingi Mkuyuni iliyopo katika Tarafa ya Mkuyuni Morogoro Vijijini anashikiliwa na Jeshi la Polisi Mkoa wa Morogoro kwa tuhuma za kumpiga hadi kumng'oa jino la juu mwalimu mwezake, Witnes Makoti huku chanzo kikiwa bado hakijulikani.
Mwalimu huyo aliyefahamika kwa jina la Mussa Hasira anadaiwa kutenda tukio hilo Oktoba 15,2021 baada ya kupishana kauli wakiwa shuleni hapo
Kamanda wa Polisi wa Polisi Morogoro, Fortunatus Musilimu amethibitisha kushikiliwa kwa mtuhumiwa.
Amesema kuwa, mtuhumiwa huyo alimshambulia kwa fimbo na ngumi mwalimu mwenzake huyo hadi kumsababishia majeraha sehemu mbalimbali za mwili.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Author Details
Malunde 1 blog ni blog ya Kiswahili maarufu duniani kwa habari za Matukio, Siasa, Magazeti, Nyimbo za asili na habari za kusisimua.
No comments:
Post a Comment