Friday, September 10, 2021
Home
burudani
matukio
nyimbo za asili
shinyanga
MSANII MAARUFU JUMA MARCO AJITOKEZA KUELEZA KUHUSU UZUSHI AMEFARIKI DUNIA....AFUNGUKA KWA WIMBO ALIVYONUSURIKA KUFA
MSANII MAARUFU JUMA MARCO AJITOKEZA KUELEZA KUHUSU UZUSHI AMEFARIKI DUNIA....AFUNGUKA KWA WIMBO ALIVYONUSURIKA KUFA
Kwa mashabiki na wapenzi wa nyimbo za asili bila shaka watakuwa wamesikia taarifa za kuugua sana na wengine hata kusikia uzushi wa kuhusu kifo cha Msanii Maarufu wa Nyimbo za asili Juma Marco kutoka Kahama mkoani Shinyanga... Sasa leo Msanii Juma Marco ameamua kuwaeleza mashabiki na wadau mbalimbali juu ya afya yake. Kupitia wimbo wake alioupa jina la Uzushi amezungumzia jinsi alivyohaingaika kupigania uhai wake na sasa yupo salama.
Tags
burudani#
matukio#
nyimbo za asili#
shinyanga#
Share This
About Unknown
shinyanga
E.E.M
burudani,
matukio,
nyimbo za asili,
shinyanga
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Author Details
Malunde 1 blog ni blog ya Kiswahili maarufu duniani kwa habari za Matukio, Siasa, Magazeti, Nyimbo za asili na habari za kusisimua.
No comments:
Post a Comment