JINSI MADAKTARI TAJIKA WA MITI SHAMBA WALIVYONISAIDIA KUPATA MUME NILIYEMTHAMINI NA TUKAFUNGA NDOA

Ama kwa hakika mapenzi huwa baina ya watu wawili na wanaopendana sana kwa wakati wowote. Hakuna mtu anayeweza kuwa katika uhusiano wa kimapenzi na mtu ambaye hamthamini wala kumpenda kwani mahusiano hayo yanaweza kuleta vita na sintofahamu kwenye ndoa ama uhusiano ule. 

Nilikuwa natamani kupata mchumba kwani tayari ilikuwa nimefikisha umri wa kuweza kuolewa. Rafiki zangu wote tuliokuwa tumesoma nao walikuwa tayari wameoa na mimi peke ndimi niliyekuwa nimeachwa nyuma. Suala hili lilinipa hofu kwani nilifahamu fika siku zilikuwa zinasonga na kwamba hali ingekuwa mbaya zaid iwapo siku zingepita hata zaidi bila yangu kupata mume.

 Wazazi wangu pamoja na jamaa zangu waliendelea kuniwekea msukumo kwani kila mara nilipokutana nao nyumbani waliniuliza kwa utani ni lini wajukuu wangefika duniani kwa hisani yangu.

Nilifahamu fika kwamba walikuwa wanataka niweze kufunga ndoa kwani miaka ilikuwa inasonga kwa kasi sana. Nilipatana na Jared ambaye tuliingia katika mahusiano ya kimapenzi na hapo nikajiambia kwamba nilikuwa tayari keshapata mume wangu wa maishani. Siku zilivyosonga, tabia zake zilinikera kwani aliniwacha na kusitisha uhusiano wetu bula yangu kujua. 

Ilikuwa ni ishara tu kwamba alitaka tu kujitimizia tendo la ndoa kupitia kwangu. Nilipiga moyo konde kwani nilijiambia akilini kwamba hakuwa kipenzi change cha roho. Muda ulizidi kusonga lakini hakuna mwanaume yeyote aliyehata piga mluzi nilipopita kwenye umati wao. Nilibaki nimesononeka sana. Nilifanya kila juhudi ili kuwavutia wanaume lakini yote yalikuwa ni bure. Nilinunua mavazi yaliyotoa umbo langu vizuri lakini hakuna hata mwanaume yeyote aliyenijia na jambo hilo lilinifanay niweze kujidharau kabisa.

Susan ambaye alikuwa kasha olewa na ambaye alikuwa amepitia shida kama yangu kabla ya kupata mume, aliniambia kwamba alipata usaidizi kutoka kwa daktari Kiwanga. 

Alinipa nambari ya simu ya daktari Kiwanga na hapo nikaipiga ili kutenga muda kukutana naye kwani ama kwa hakika nilikuwa nimefika ukingoni na swala hili la upweke na kukosa mume licha ya miaka kuwa imesonga hata zaidi. 

Baada ya wiki mbili nilifunga safari hadi kwenye afisi za daktari Kiwanga kwa ajili ya usaidizi ili niweze kupata mume. Alinihoji na hapo nikawelezea shida niliyokuwa napitia ambapo alinishughulikia. Alinipa kichupa fulani kilichokuwa na mafuta ambapo aliniambia kila siku niwe najipaka nikondoka kwenda kazini. 

Nilirejea nyumbani na nikazingatia masharti yote ambayo aliniambia kwani nilitamani sana kuwa kwenye ndoa. Baada ya siku tatu nilipatana na Haman ambaye tulichumbiana na akanieleza kwamba hapo awali alikuwa amepatana na wapenzi kadhaa lakini hawakuwa kama mimi. 

Alisema kwamba tabia zangu zilikuwa zimemfurahisha ajabu. Tulichumbiana na baada ya muda fulani nilimtambulisha kwa wazazi wangu naye pia akanitambulisha kwa wazazi wake. Hii ilikuwa ishara tu kwamba ndoa ilikuwa njiani. Mwishowe tulifanya harusi kubwa mabapo kila mtu alidhihirisha kwamba tulikuwa mume na mke kirasmi. Maisha yetu na Haman yalikuwa yenye kutamaniwa na wengi kwani hatukuwa na ugomvi.

Daktari Kiwanga anatibu magonjwa mbalimbali yakiwemo kifaduro, kifua kikuu kisonono na mengineyo kwa muda wa siku tatu pekee. Ana uwezo wa kukinga familia yako kutokana na watu wenye nia mbaya na wasio kutakia mema kwa wakati wowote ule. Kwa mengi zaidi wasiliana nao kupitia barua pepe kiwangadoctors@gmail.com ama kwenye wavuti www.kiwangadoctors.com ama waweza kuwasiliana nao kupitia nambari ya simu +254 769404965.

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527

0/Post a Comment/Comments