NYOKA MKUBWA AZUA GUMZO AKITOA HESHIMA ZA MWISHO KWENYE KABURI LA MAREHEMU


Wakazi wa kijiji cha Kampi Samaki katika Kaunti ya Baringo nchini Kenya wamepata mshangao baada ya kushuhudia nyoka mkubwa akitoa heshima za mwisho kwa mmiliki wake aliyejulikana kwa jina la William Ewoi aliyefariki dunia siku ya Alhamis Julai 8,2021.

Inaelezwa kuwa siku mbili baada ya mazishi ya mwanaume huyo anayedaiwa kuwa Mganga wa Jadi, nyoka huyo alijitokeza katika nyumba ya marehemu kisha kuzunguka kaburi la marehemu ikiwa ni ishara ya kutoa heshima zake za mwisho.


Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553
Previous Post Next Post