Breaking News : SOKO LA KARIAKOO DAR LINATEKETEA KWA MOTO


Taarifa zilizotufikia hivi punde ni kuwa, Soko Kuu la Kariakoo lililopo jijini Dar es salaam linaungua moto usiku huu Jumamosi Julai 10,2021 huku jitihada za kuuzima zikiendelea.

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Amos Makalla ambaye yuko kwenye eneo la tukio amesema moto huo umeanza kuwaka saa 3:30 usiku huu  na kwamba chanzo bado hakijafahamika.

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527

0/Post a Comment/Comments