KAY JAY , KUTOKA KUANDIKIA WASANII WENZAKE MPAKA KUWA "ORDINARY GUY"

Kay Jay

Kayjay ni Mwandishi wa nyimbo na mwimbaji kutoka nchini Nigeria ambaye amewahi kuwaandikia wasanii wakubwa kama vile TundeEdnut ('Catching Cold'), Iyanya ('IyanuMashele'), KCEE ('Burn' & 'Psycho'), Naeto C, Kach ('Olo'), Chuddy K ('Nenda chini'), Stunna ('Balance' akishirikiana na Iyanya), Samklef, Tillaman, BimbiPhiliphs (Duro Dada).

Licha ya hivyo Kayjay amefanikiwa kushirikiana na wasanii wengi kama vile Shaydee,skales ,Samklef na wengine.

Lakini kwa sasa ameachia kazi yake mpya ambayo inapatikana katika mitandao kama vile Spotfiy ,Itunes ,Boomplay,Audiomack ,Youtube na kwingine.

Unaweza Kusikiliza na kudownload kazi yake "Ordinary Guy" @kayjayogbonna

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527

0/Post a Comment/Comments