KAVEJURU FELIX (CCM) ASHINDA UBUNGE JIMBO LA BUHIGWE
Monday, May 17, 2021
Felix Kavejuru (CCM) ametangazwa mshindi katika uchaguzi mdogo wa ubunge jimbo la Buhigwe uliofanyika jana Jumapili Mei 16, 2021.
Akitangaza matokeo usiku wa kuamkia leo Jumatatu Mei 17, 2021 msimamizi wa uchaguzi wa jimbo hilo, Marrycelina Mbehoma amesema Kavejuru amepata kura 25,274 akifuatiwa na mgombea wa ACT-Wazalendo, Garula Tanditse aliyepata kura 4,749.
Amebainisha wapiga kura walioandikishwa ni 112,333 lakini waliojitokeza kupiga kura ni 30,713. Amesema kura halali zilikuwa 30,320 na zilizoharibika 593.
Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa
Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundeblog@gmail.com
🚧🚦 Usiendeshe gari lako bila Mafunzo na Leseni halali_ 📲 Wasiliana nasi sasa: wa.me/255740273285 Unahitaji nini? 🚘 Unataka kujifunza udereva wa magari na kupata Cheti? 📄 Una cheti unataka kupata Leseni? 🔄 Unajua kuendesha lakini huna cheti wala leseni na unataka refresh upate cheti? 🛣️ Una nyaraka zote muhimu lakini unahitaji kujifua zaidi barabarani? ✅ Una Leseni bila cheti na unataka renew? 🌍 Tupo mikoa yote Tanzania hadi vijijini! 📞 Tupigie sasa: 0769 763 285
Social Plugin