BOYFRIEND WANGU ANATAKA KUMUOA MTOTO WA DADA YANGU...HIVI NDIVYO NIMESIMAMISHA MAHUSIANO YAO

 Utanishangaa na kujiuliza maswali mengi sana kichwani mwako ila hata mimi naandika ujumbe huu moyo wangu ukiwa umejaa dhiki na machozi makubwa kuona mtoto wa dada yangu namkosesha mtu ambaye alikuwa anaona ndo chaguo la moyo wake.

 Mimi naitwa Rahima mkazi wa Kigamboni Dar es salaam ,umri wa miaka 28. Nikiwa na miaka 17 nasoma kidato cha kwanza niliingia katika mahusiano na Jamary. Jamary alikuwa wanafunzi mwenzangu hapo shuleni hivyo tulikuwa tunaonana mara kwa mara kwa hiyo mahusiano yetu yalikuwa mazuri sana japo yalikuwa ni mausiano ya siri. 

Baada ya semister ya kwanza wazazi wangu waliniamisha kutoka shule ya serikari kwenda shule ya binafsi. Mimi kuhamishwa shule hakuharibu mahusiano yetu japo tulikuwa tunakutana kipindi cha likizo kwa sababu wote tulikuwa tunatoka mtaa mmoja, na baada ya miaka minne wote tumaliza masomo ya secondary na kuwa mtaani. 

Tukiwa mtaani tunasubiri matokeo yetu tulipata nafasi ya kutosha kukaa wote. Ukweli sijawai na sijui kama itatokea tena raha na mapenzi niliyoyapata kutoka kwa Jamary muda huo.
Ni mapenzi ambayo hayana mfano na siwezi kulinganisha na mahusiano yoyote yale maana ilikuwa raha kwa raha.

Kulingana na mapenzi tuliyokuwa nayo tulikubaliana kuwa baada ya masomo tutaoana. Miezi kadhaa kupita tulipata matokeo yetu na wote tulikuwa na sifa za kujiunga masomo ya high school.

 Mimi nilichaguliwa kujiunga na Tabora-Girls na Jamary alichaguliwa kujiunga Morogoro high school. Kabla hatujawasili shuleni tulihakikisha kila moja aliweza washawishi wazazi wake ili tuweze kuwa na siku moja ya kasafiri na ikawa hivyo,tulitafuta hotel Morogoro na kukaa wote kwa kipindi cha siku saba.

Turitumia huo muda kuwekeana ahadi mbalimbali miongoni mwa ahadi zetu ni kuwa baada ya masomo tutaoana. Masomo kwa sisi wote yalikuwa mazuri na mahusiano yetu hayakuwa na doa hata moja na hatimaye tukamaliza masomo ya high school tena tukarudi mtaani japo tulikuwa tunatembeleana na kukutana tukiwa bado tunasoma.

Tuliporudi nyumbani mchezo ukawa ule ule tena mtamu zaidi.Baadhi ya marafiki zetu waliweza fahamu juu ya mahusiano yetu. Bado Mungu akatuwekea mkono wake tukafaulu kujinga masomo ya Chuo Kikuu.

Mimi nilichaguliwa kwenda chuo cha Makumira-Arusha na yeye alichaguliwa kwenda Udom- Dodoma. Mambo yalibadilika haswa tupofika mwaka wa tatu,Jamary alianza kutonijali hata kunipigia simu na baada ya kuhitimu nikapata habari kuwa January anataka kumuoa mtoto wa dada yangu ambaye anasomea Udom.

Mwanzo nilipopata habari sikuamini ila Jamary mwenyewe akanitamkia kwa mdomo wake. Maelekezo yake alisema kuwa mimi nimekuwa sana hivyo hatuwezi kuwa mme na mke.

Na baada ya miezi sita nilipata taarifa ya mwezi na tarehe ambayo Jamary anafunga ndoa.Nilijiuliza mbona kanitumia kwa muda mrefu leo hii hanitaki. Je nitawezaje kusimama siku ya Harusi Jamary anamchukua mtoto wa dada na mimi kuwa Mamakwe wake.

Katika ongea ongea na marafiki zangu ndipo rafiki yangu Faima akaniambia kuwa kuna Dr mashuhuri yupo Kenya anaweza simamisha hiyo ndoa usiwepo. 

Faima alinipatia namba ya simu ambayo ni +254 769404965 nikawasiliana na Dr. Kiwanga kisha nikamwambia kuwa sina uwezo wa kufika Kenya ila nahitaji usaidizi wa haraka maana nilikuwa najiuliza aibu nitaiweka wapi na je mtoto wa dada yangu na dada yangu siku wakifahamu kuwa nilishawahi kupendana na Jamary picha gani itatokea.

Dr. Kiwanga aliniambia kuwa atanisaidia na separation spells ndani ya masaa 48. Hata masaa 24 hayakupita nilipata habari kuwa Jamary amesema hawezi kuoa mwanamke wa kabila moja hivyo atamuoa mtoto wa dada yangu.

Miaka 2 kupita Jamary alioa mwanamke kutoka Tanga na mimi kwa sasa nina mme na watoto 2. Pia nilihakisha mtoto wa dada yangu anapata mwanaume naye yupo na familia yake.

Asante Kiwangadoctors kunisaidia kuficha aibu ambayo ingenikuta endapo wangeoana. Tembelea website yao www.kiwangadoctors.com kwa kupata taarifa zinazowahusu Kiwanga doctors,maana wanatibu magonjwa sugu kama Pressure, Sukari na Nguvu za kiume pia Kiwanga doctors wanasafisha nyota,kupata ujauzito,kupata mme au mke kwa waliokosa mda mrefu, mtu kuacha kutumia pombe.Unaweza kuwapata kwa namba +254 769404965 au barua pepe hii kiwangadoctors@gmail.com.


Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527

0/Post a Comment/Comments