AZAM, SIMBA NA YANGA ZOTE ZATINGA ROBO FAINALI LIGI KUU YA TAIFA YA VIJANA CHINI YA UMRI WA MIAKA 20


TIMU za Simba, Yanga na Azam FC zimefuzu Robo Fainali ya Ligi Kuu ya Vijana chini ya umri wa miaka 20 baada ya kumaliza katika nafasi mbili za mwanzo katika makundi yao.

Pamoja na Simba walioshika nafasi ya pili Kundi B, Yanga walioongoza Kundi A na Azam FC waliomaliza nafasi ya pili Kundi A, timu nyingine ni Mtibwa Sugar, Kagera Sugar, Mwadui, Tanzania Prisons na JKT Tanzania.

Prisons na JKT wamefuzu kama ‘best losers’ baada ya kukusanya pointi nyingi kwenye nafasi ya tatu katika makundi yao ikilinganishwa na Ruvu Shooting.

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527

0/Post a Comment/Comments