Monday, May 31, 2021
SHAMBA LENYE EKARI 100 LINAUZWA,LIMEPIMWA
Shamba lenye Ekari 100 ambalo tayari limeishapimwa linauzwa .
Mahali: Shungumbweni, Mkuranga karibu na Kiwanda cha Chumvi Neel Salt
Bei: Mil.150,000,000 (mazungumzo yapo) .
Umbali: Kilomita 5 kutoka baharini, Kilomita 26 kutoka barabara kuu ya Dar-Lindi, (Unaweza Ingilia kwa njia ya Kibada-Mwasonga pia).
Shamba lina miti ya mikorosho na mianzi,kisima cha maji safi mita 72, kinatoa lita 20,000 kwa saa.
KWA MAWASILIANO ZAIDI 0763000053
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Author Details
Malunde 1 blog ni blog ya Kiswahili maarufu duniani kwa habari za Matukio, Siasa, Magazeti, Nyimbo za asili na habari za kusisimua.
No comments:
Post a Comment