MAKAMU WA RAIS DKT. MPANGO ATEMBELEA HOSPITALI YA UHURU DODOMA

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Philip Isdor Mpango, akipata maelezo kuhusu Maendeleo na Changamoto mbalimbali zinazoikabili Hospitali ya Uhuru Jijini Dodoma kutoka kwa Mganga Mfawidhi wa Hospitali hiyo Dr. Pius Kagoma wakati alipotembelea kwa kushitukiza leo April 26,2021.


Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Philip Isdor Mpango, akizungumza na kusikiliza  Changamoto mbalimbali kutoka kwa Wahudumu wa Hospitali ya Uhuru Jijini Dodoma wakati alipotembelea kwa kushitukiza katika Hospitali hiyo leo April 26,2021. (Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais)


Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527

0/Post a Comment/Comments