MABADILIKO: HAYATI DKT. MAGUFULI ATAZIKWA MACHI 26, 2021....ZANZIBAR ATAAGWA MACHI 23

Machi 20,2021- Mwili kupelekwa Uwanja wa Uhuru Dar es Salaam kwa taratibu za kuaga


Machi 21,2021- Wananchi wa Dar es Salaam kuaga mwili na kisha kusafirishwa kuelekea Dodoma


Machi 22,2021- Wananchi wa Dodoma kuaga mwili na baadaye kusafirishwa kuelekea Zanzibar


Machi 23,2021- Wananchi wa Zanzibar kuaga mwili na baadaye kusafirishwa kuelekea mkoani Mwanza


Machi 24,2021- Wananchi wa Mwanza kuaga mwili na baadaye kusafirishwa kuelekea Chato mkoani Geita


Machi 25,2021- Wanafamilia na wananchi wa Chato na Mikoa jirani kuaga mwili


Machi 26, 2021- Shughuli za Mazishi kufanyika Chato mkoani Geita





UPDATES ZOTE

Pakua / Download App ya Malunde 1 blog Tuwe tunakutumia taarifa zote moja kwa moja kwenye simu yako bure kabisa 

Bofya <<HAPA>> Mara Moja Tu



Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527

0/Post a Comment/Comments