Home »
habari
» DK. PHILIP MPANGO AAPISHWA KUWA MAKAMU WA RAIS WA TANZANIA
DK. PHILIP MPANGO AAPISHWA KUWA MAKAMU WA RAIS WA TANZANIA
Makamu wa Rais mteule wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt .Philip Isdor Mpango akiapa kuwa Makamu wa Rais mbele ya Jaji Mkuu wa Tanzania Prof. Ibrahimu Juma, leo Ikulu Chamwino jijini Dodoma.Uapisho huo umeshuhudiwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan.
Usikubali kupitwa na habari..Pakua App ya Malunde1 blog HAPA Ili tuwe tunakutumia habari moja kwa moja Kwenye Simu yako
Malunde 1 blog Ipo PlayStore....Pakua App yetu mpya HAPA Upate Habari Mpya Moja Kwa Moja Kwenye Simu yako..Utasoma habari hata kama hauna MB..Bofya Hapa