UTARATIBU WA KUAGA MWILI WA MAGUFULI WABADILISHWA....SASA WANANCHI HAWATAPITA MBELE YA JENEZA

Viongozi mbalimbali wameanza kuingia katika uwanja wa Jamhuri jijini Dodoma kwa ajili ya kuaga mwili wa aliyekuwa Rais wa Tanzania, Hayati Dkt. John Magufuli huku utaratibu ukibadilishwa.

Utaratibu wa kuaga mwili wa Magufuli umebadilishwa ambapo sasa wananchi hawatapita mbele ya jeneza lenye mwili wake badala yake walio ndani ya uwanja huo wataaga mwili ukiwa kwenye gari na utazungushwa uwanjani hapo mara tano ukiwa katika gari maalum.

Via Mwananchi


UPDATES ZOTE

Pakua / Download App ya Malunde 1 blog Tuwe tunakutumia taarifa zote moja kwa moja kwenye simu yako bure kabisa 

Bofya <<HAPA>> Mara Moja Tu

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527

0/Post a Comment/Comments