UTARATIBU WA KUAGA MWILI WA MAGUFULI WABADILISHWA....SASA WANANCHI HAWATAPITA MBELE YA JENEZA
Monday, March 22, 2021
Viongozi mbalimbali wameanza kuingia katika uwanja wa Jamhuri jijini Dodoma kwa ajili ya kuaga mwili wa aliyekuwa Rais wa Tanzania, Hayati Dkt. John Magufuli huku utaratibu ukibadilishwa.
Utaratibu wa kuaga mwili wa Magufuli umebadilishwa ambapo sasa wananchi hawatapita mbele ya jeneza lenye mwili wake badala yake walio ndani ya uwanja huo wataaga mwili ukiwa kwenye gari na utazungushwa uwanjani hapo mara tano ukiwa katika gari maalum.
🚧🚦 Usiendeshe gari lako bila Mafunzo na Leseni halali_ 📲 Wasiliana nasi sasa: wa.me/255740273285 Unahitaji nini? 🚘 Unataka kujifunza udereva wa magari na kupata Cheti? 📄 Una cheti unataka kupata Leseni? 🔄 Unajua kuendesha lakini huna cheti wala leseni na unataka refresh upate cheti? 🛣️ Una nyaraka zote muhimu lakini unahitaji kujifua zaidi barabarani? ✅ Una Leseni bila cheti na unataka renew? 🌍 Tupo mikoa yote Tanzania hadi vijijini! 📞 Tupigie sasa: 0769 763 285
Social Plugin