WAZIRI WA MAMBO YA NJE YA CHINA WANG YI AWASILI CHATO MKOANI GEITA


Waziri wa Mambo ya Nje wa China Wang Yi akiwasili katika uwanja wa Ndege wa Geita Wilayani Chato leo tarehe 07 Januari 2020 na kupokewa na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Profesa Palamagamba Kabudi. 
Waziri wa Mambo ya Nje wa China Wang Yi akiwasili katika uwanja wa Ndege wa Geita Wilayani Chato leo tarehe 07 Januari 2020 na kupokewa na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Profesa Palamagamba Kabudi.
Waziri wa Mambo ya Nje wa China Wang Yi akisikiliza maelezo ya Chuo ya UfundiStadiVeta Chato mkoani Geita kabla ya kukifungua.


Ndege aina ya Boeing 737-700 iliyombeba Waziri wa Mambo ya Nje wa China Wang Yi pamoja na Ujumbe wake ikiwasili katika uwanja wa Ndege wa Geita Wilayani Chato leo tarehe 07 Januari 2020.
Ndege aina ya Boeing 737-700 iliyombeba Waziri wa Mambo ya Nje wa China Wang Yi pamoja na Ujumbe wake ikiwasili katika uwanja wa Ndege wa Geita Wilayani Chato leo tarehe 07 Januari 2020.
Ndege aina ya Boeing 737-700 iliyombeba Waziri wa Mambo ya Nje wa China Wang Yi pamoja na Ujumbe wake ikiwasili katika uwanja wa Ndege wa Geita Wilayani Chato leo tarehe 07 Januari 2020.
Ndege aina ya Boeing 737-700 iliyombeba Waziri wa Mambo ya Nje wa China Wang Yi pamoja na Ujumbe wake ikiwasili katika uwanja wa Ndege wa Geita Wilayani Chato leo tarehe 07 Januari 2020.

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527

0/Post a Comment/Comments