AMUUA BABU YAKE BAADA YA KUONA ANATESEKA NA MARADHI MUDA MREFU


Picha haihusiani na habari hapa chini

Saidi Kihundwa (98), Mkazi wa Kijiji cha Mlangoni katika Kata ya Gararagua, Wilaya ya Siha mkoani Kilimanjaro, anadaiwa kuuawa kikatili na mjukuu wake, aliyeona babu yake anateseka na maradhi kwa muda mrefu.

Kaimu Kamanda wa Polisi mkoani Kilimanjaro, Kamishna Msaidizi Leonard Makona, alithibitisha taarifa za kuuawa kwa mkazi huyo.

Tukio hilo lilitokea wiki iliyopita, majira ya jioni nyumbani kwa mzee huyo, mjukuu wake akidaiwa kumpiga na kitu kizito kichwani na kumsababishia umauti.

Soma zaidi: https://epaper.ippmedia.com

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527

0/Post a Comment/Comments