MAMA SAMIA SULUHU AENDELEA KUCHANJA MBUGA KUMUOMBEA KURA JPM...YALIYOJIRI LEO RUKWA HAYA HAPA
Saturday, October 10, 2020
Kutoka Rukwa. Yaliyojiri kwenye Mwendelezo wa Kampeni za Kunadi Sera za CCM, Kunadi Ilani na Kuomba Kura kwa Wananchi Kwenye Mkutano wa Mgombea Mwenza wa Urais wa CCM Mama Samia Suluhu Hassan wa Wilaya ya Nkasi Kaskazini Mkoani Rukwa. Mama anaendelea Kuchanja Mbuga kuongea na Watanzania na Kumuombea Kura Mgombea Urais wa CCM Dkt John Pombe Magufuli.#KuraKwaMagufuli2020 #T2020JPM
Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa
Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundeblog@gmail.com
🚧🚦 Usiendeshe gari lako bila Mafunzo na Leseni halali_ 📲 Wasiliana nasi sasa: wa.me/255740273285 Unahitaji nini? 🚘 Unataka kujifunza udereva wa magari na kupata Cheti? 📄 Una cheti unataka kupata Leseni? 🔄 Unajua kuendesha lakini huna cheti wala leseni na unataka refresh upate cheti? 🛣️ Una nyaraka zote muhimu lakini unahitaji kujifua zaidi barabarani? ✅ Una Leseni bila cheti na unataka renew? 🌍 Tupo mikoa yote Tanzania hadi vijijini! 📞 Tupigie sasa: 0769 763 285
Social Plugin