MAGUFULI AHUTUBIA MAELFU YA WANANCHI DAR AKIOMBA KURA...HIZI HAPA KAULI ZAKE

Habari picha. Shujaa wa Afrika ameunguruma ndani ya Jiji la Dar es Salaam. Yote aliyoyazungumza Mgombea Urais wa CCM Dkt John Pombe Magufuli Kwenye Mkutano wake Mkubwa sana wa Kampeni Uliofanyika ndani ya Uwanja wa Taifa wa Mkapa Kwenye Safari ya Kunadi Sera, Ilani ya CCM na Kuomba Kura kwa Wananchi. #KuraKwaMagufuli2020
#T2020JPM

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527

0/Post a Comment/Comments