Msimamizi wa Uchaguzi wa Jimbo la Njombe Mjini amemtangaza Deodatus Mwanyika (CCM) kuwa mshindi wa jimbo hilo kwa kupata kura 29,553 huku mshindani wake Emmanuel Masonga (CHADEMA) akipata kura 5,940.
Deodatus Mwanyika Ashinda Ubunge Njombe Mjini
Msimamizi wa Uchaguzi wa Jimbo la Njombe Mjini amemtangaza Deodatus Mwanyika (CCM) kuwa mshindi wa jimbo hilo kwa kupata kura 29,553 huku mshindani wake Emmanuel Masonga (CHADEMA) akipata kura 5,940.
Post a Comment