MAALIM SEIF AREJESHA FOMU ZA URAIS OFISI ZA TUME YA UCHAGUZI YA ZANZIBAR (ZEC)


Mgombea urais wa Zanzibar kupitia ACT-Wazalendo, Maalim Seif Sharif Hamad, amefika katika ofisi za Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC) na kurejesha fomu yake leo ambapo ni mwisho wa zoezi hilo na wagombea walitakiwa kuzirudisha kabla ya saa 10 jioni.





Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527