PICHA ZA WAGOMBEA UBUNGE CCM WILAYA YA MEATU BAADA YA KUREJESHA FOMU
Tuesday, August 25, 2020
Mgombea ubunge Jimbo la Kisesa, Luhaga Mpina akihakiki nyaraka muhimu
kabla ya kurejesha fomu ya kuomba kuteuliwa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi
kugombea Jimbo la Kisesa. wengine ni Katibu wa CCM Wilaya ya Meatu,
Charles Mazuri kulia ni Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Meatu, Juma Mwiburi
Wagombea Ubunge wa Chama cha Mapinduzi Jimbo la Kisesa, Luhaga Mpina
(kulia) na Leah Komanya Jimbo la Meatu (kushoto ) wakijaza fomu za Tume
ya Uchaguzi kuomba kuteuliwa kugombea majimbo hayo kwa ajili ya uchaguzi
mkuu mwaka huu.
Mgombea Ubunge Jimbo la Kisesa, Luhaga Mpina akizungumza na madiwani
walioteuliwa na CCM kugombea kwenye kata za Jimbo la Kisesa muda mfupi
baada ya kujeresha fomu ya kugombea ubunge 2020.
Mgombea ubunge Jimbo la Kisesa, Luhaga Mpina akifurahia jambo na Mgombea
ubunge Jimbo la Meatu, Leah Komanya wakati wakiingia kuchukua fomu ya
kuomba kuteuliwa na Tume ya uchaguzi. wengine ni Katibu wa CCM Meatu,
Charles Mazuri na Mwenyekiti wa CCM wilaya ya Meatu, Juma Mwiburi.
Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa
Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundeblog@gmail.com
🚧🚦 Usiendeshe gari lako bila Mafunzo na Leseni halali_ 📲 Wasiliana nasi sasa: wa.me/255740273285 Unahitaji nini? 🚘 Unataka kujifunza udereva wa magari na kupata Cheti? 📄 Una cheti unataka kupata Leseni? 🔄 Unajua kuendesha lakini huna cheti wala leseni na unataka refresh upate cheti? 🛣️ Una nyaraka zote muhimu lakini unahitaji kujifua zaidi barabarani? ✅ Una Leseni bila cheti na unataka renew? 🌍 Tupo mikoa yote Tanzania hadi vijijini! 📞 Tupigie sasa: 0769 763 285
Social Plugin