Picha : MGOMBEA URAIS KWA TIKETI YA ALLANCE FOR DEMOCRATIC CHANGE ADC QUEEN SENDIGA ACHUKUA FOMU YA URAIS NEC

Mgombea Urais kwa tiketi ya Allance for democratic change ADC Queen sendiga akiwa na mgombea mwenza Shoka Juma akionyesha fomu baada ya kuchukua katika ofisi za tume ya uchaguzi NEC iliyopo Njedengwa jijini Dodoma



Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527