NEC YAFUNGUA PAZIA FOMU ZA WAGOMBEA URAIS....NRA, DP, AAFP WAJITOSA KUCHUKUA FOMU

Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya Chama cha Wakulima Tanzania (AAFP), Seif Maalim Seif na Mgombea-mwenza, Rashid Ligania wamechukuwa fomu leo ambapo wamekabidhiwa na Mwenyekiti wa NEC, Jaji Mstaafu Semistocles Kaijage jijini Dodoma.

Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya Chama cha Democratic Part (DP) , Philipo John Fumbo mara baada ya kuchukua Fomu  leo

Mgombea wa Urais kupitia Chama cha National Reconstruction Alliance (NRA), Leopold Mahona baada ya kupokea  fomu ya uteuzi ya kugombea Urais wa Tanzania inayotolewa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC). 

Zoezi la kuchukua fomu hizo limeanza leo katika ofisi za NEC jijini Dodoma. 


Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527