NDEGE ZA MASHIRIKA YA KIMATAIFA ZAENDELEA KUMIMINIKA NCHINI.....HAPA NI NDEGE AINA YA DREAMLINER, A7-BCG YA SHIRIKA LA NDEGE LA QATAR

Ndege aina ya Dreamliner, A7-BCG ya Shirika la Ndege la Qatar (Qatar Airways) ikikanyaga ardhi ya Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KIA) mapema asubuhi hii ikiwa ni muendelezo wa safari za ndege za mashirika ya kimataifa nchini Tanzania.



Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527